Saturday, 11 April 2015

Manchester Derby kutikisaLigi Kuu Kesho

Saturday, 11 April 2015 - by Unknown 0



Ligi Kuu ya Uingereza inaendelea wikiendi hii ambapo mtanange mkali ni kat ya Manchester United na Manchester City (Manchester Derby) ambao utapigwa katika dimba la Old Trafford siku ya Jumapili.

Pia, Chelsea watamenyana na QPR mjini London huku Liverpool wakitoana jasho na Newcastle kwenye uwanja wa Anfield siku ya Jumatatu.
Aidha, Mechi nyingine;
Jumamosi 11 April
14:45 Swansea v Everton
17:00 Southampton v Hull
17:00 Sunderland v Crystal Palace
17:00 Tottenham v Aston Villa
17:00 West Brom v Leicester
17:00 West v HamStoke
19:30 Burnley v Arsenal
Jumapili 12 April
15:30 QPR v Chelsea
18:00 Man Utd v Man City
Jumatatu 13 April
22:00 Liverpool v Newcastle
Muda wote ni kwa saa za Afrika Mashariki

About the Author

Write admin description here..

0 comments:

© 2015 THE CIRCLE TV.